Thursday, 16 June 2016
WANAFUNZI WALAZIMISHWA KUSALIMIANA NA WALIMU WAO KWA MIKONO BAINA YA JINSIA MBILI SWITZZERLAND
Wanafunzi wakiislamu wakiume wameagizwa kusalimia walimu wao kwa kushikana mikono au wazazi walipe faini ya (£3,500). hii ilitokana baada ya mwanafunzi mmoja kukataa kusalimiana na mwalimu wake na kusema ni kinyume na dini ya kiislam,serikali ya nchi hiyo wamelijadili suala hilo na kufikia mwafaka kuanzisha sheria hiyo kwani kusalimia kati ya mwalimu na wanafunzi ni moja kati ya Adabu,kwani watoto hao toka wakiwa watoto hulelewa katika maadili ya utiifu kwa wakubwa wao na kuwaambia wanafunzi hao kukataa kusalimiana kwa mikono kwa mgongo wa dini halivumiliki.
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)

No comments :
Post a Comment